Friday 2 September 2016

Hali Ilivyokuwa Wakati wa Kupatwa kwa Jua Rujewa


Jua lilivyokuwa likionekana kupitia miwani maalum ya kuchuja mionzi ya jua mjini Rujewa wilayani Mbarali mkoani Mbeya leo.

Solar Eclipse (1)
Raia wa nchi mbalimbali wakishuhudia kupatwa kwa jua kwa kutumia vifaa maalum vya kuchuja mionzi ya jua katika mji wa Rujewa wilayani Mbarali mkoani Mbeya leo.
Solar Eclipse (2)
Baadhi ya wananchi wakishuhudia kupatwa kwa jua katika mji wa Rujewa wilayani Mbarali, mkoani Mbeya.
Solar Eclipse (3)
Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Amos Makalla na Mkuu wa Mkoa wa Songwe Luteni Mstaafu Chiku Galawa wakishuhudia kupatwa kwa jua katika mji wa Rujewa wilayani Mbarali mkoani Mbeya leo, jua lilipatwa kuanzia saa 4:15 hadi saa 7:00.

0 comments:

Post a Comment