Thursday 29 September 2016

Pogba needs Jose to axe Fellaini

No way, Jose! Pogba must demand flop Fellaini is dropped
Jose Mourinho called Manchester United’s Europa League clash with Zorya Luhansk a “must-win” encounter on Wednesday, but their 1-0 victory at Old Trafford had the home fans pulling their hair out for long spells as they watched a team of superstars being undermined by the lack of creativity offered by Marouane Fellaini.

Pogba aweka rekodi yake ya pasi Europa Man United ikishinda dhidi ya Zorya

Pogba aweka rekodi yake Europa Man United ikishinda dhidi ya Zorya
Supastaa huyo wa United mwenye umri wa miaka 23 amezidi kuimarika katika kila mechi anayocheza akiwa na Mashetani Wekundu

Jionee historia na takwimu za mechi za Simba na Yanga tangu mwaka 2010

Yanga vs Simba:Mohamed Hussein vs Kaseke
 Nani ataibuka mshindi Oktoba mosi?

Hii ndio kauli ya nahodha Jonas Mkude, kuelekea pambano la Simba na Yanga

Jonas Mkude wa Simba akishangilia 2016
Mkude amesema mwendokasi wanaokwenda nao ndiyo kama kauli mbiu msimu huu kwani wamedhamiria kufuta ukame wa mataji Msimbazi

Theo Walcott aweka rekodi Ligi ya Mabingwa Uefa


Theo Walcott aweka rekodi Ligi ya Mabingwa Uefa
Walcott amefunga magoli mawili kwa mara ya kwanza katika mechi moja ya UEFA tangu Oktoba 2007 alipofanya hivyo dhidi ya Slavia Prague

Tuesday 13 September 2016

Jinsi kikosi cha Yanga kinavyompa hofu Omog

Kikosi cha Yanga champa hofu Omog
Pamoja na kikosi chake kufanya vizuri kwenye mechi za ligi ya Vodacom lakini hofu ya Omog ipo kwa mabingwa watetezi Yanga

The Argentine hit a brilliant hat-trick in 7-0

Friends reunited - Messi, Suarez & Neymar bring back feel-good factor as Barca crush Celtic


It was as if they had never been apart. Lionel Messi, Neymar and Luis Suarez had not started all together for Barcelona since the final of the Copa del Rey on May 22, but they clicked back into gear with an exhibition to crush Celtic on Tuesday.

Paris Saint-Germain 1-1 Arsenal: Alexis salvages a point after horror start

Paris Saint-Germain 1-1 Arsenal: Alexis salvages a point after horror start
Arsene Wenger set out his side in a controversial manner at the Parc des Princes and it seemed to be backfiring when the Gunners lost a goal in record time

Friday 2 September 2016

Hali Ilivyokuwa Wakati wa Kupatwa kwa Jua Rujewa


Jua lilivyokuwa likionekana kupitia miwani maalum ya kuchuja mionzi ya jua mjini Rujewa wilayani Mbarali mkoani Mbeya leo.