Thursday, 4 February 2016
Monday, 1 February 2016
Simba yanukia utajiri
Simba inajaribu kila mbinu ya kuhakikisha inafikia mafanikio, baadhi ya vigogo wa timu hiyo wanapigana kuhakikisha inaondoka kwenye hali ya kutegemea misaada, wakitaka isimame wenyewe hasa kwenye suala la kipato. Mkurugenzi wa Kampuni ya EAG ambayo ndiyo inayofanya mambo ya masoko ya klabu ya Simba, Imani Kajula ameelezea mambo mbalimbali yaliyofanywa na yanayotegemewa kufanywa ili kuleta mafanikio kwa Simba hasa upande wa uchumi
Mamilioni yatumika kuivuruga Yanga
Mishahara ya wachezaji wote wa Coastal Union, chakula na kambi kwa mwezi ni wastani wa Sh.30 milioni. Straika Mnigeria Abasirim Chidiebele ndiyo mchezaji wa gharama zaidi katika kikosi cha Coastal analipwa Sh.2milioni huku Yanga anayelipwa zaidi anakinga Sh6 milioni.





