Monday 1 February 2016

Mamilioni yatumika kuivuruga Yanga


Mishahara ya wachezaji wote wa Coastal Union, chakula na kambi kwa mwezi ni wastani wa Sh.30 milioni. Straika Mnigeria Abasirim Chidiebele ndiyo mchezaji wa gharama zaidi katika kikosi cha Coastal analipwa Sh.2milioni huku Yanga anayelipwa zaidi anakinga Sh6 milioni.

0 comments:

Post a Comment