Mishahara ya wachezaji wote wa Coastal Union, chakula na kambi kwa mwezi
ni wastani wa Sh.30 milioni. Straika Mnigeria Abasirim Chidiebele ndiyo
mchezaji wa gharama zaidi katika kikosi cha Coastal analipwa
Sh.2milioni huku Yanga anayelipwa zaidi anakinga Sh6 milioni.
0 comments:
Post a Comment