Simba inajaribu kila mbinu ya kuhakikisha inafikia mafanikio, baadhi ya
vigogo wa timu hiyo wanapigana kuhakikisha inaondoka kwenye hali ya
kutegemea misaada, wakitaka isimame wenyewe hasa kwenye suala la kipato.
Mkurugenzi wa Kampuni ya EAG ambayo ndiyo inayofanya mambo ya masoko ya
klabu ya Simba, Imani Kajula ameelezea mambo mbalimbali yaliyofanywa na
yanayotegemewa kufanywa ili kuleta mafanikio kwa Simba hasa upande wa
uchumi
0 comments:
Post a Comment