
Tanzania kuangukia nafasi ya 158 ikiwa na pointi 152
katika orodha ya Februari, 2017 inamaanisha imeshuka kwa nafasi mbili
zaidi kutoka ya 156
Tanzania imezidi kuporomoka katika orodha ya viwango vya soka
inayotolewa na Shirikisho la Soka la Kimataifa (FIFA), kufuatia
kuangukia nafasi ya 158 baada ya Januar...