Monday 14 November 2016

Hawa ndio Mastraika bora mzunguko wa kwanza

HD Amissi Tambwe
Washambuliaji waliotesa katika mzunguko wa kwanza Ligi Kuu Bara

Ligi Kuu Tanzania Bara imefika tamati kwa duru la kwanza baada ya klabu zote 16 kucheza michezo 15 ya nyumbani na ugenini 

"First Eleven" Wachezaji 11 waliofanya vizuri Ligi Kuu Bara duru la kwanza

Jonas Mkude - Simba
Tunakuletea kikosi cha wachezaji 11 bora waliofanya vizuri duru la kwanza kwa kuzingatia uwezo wa mchezaji, mchango wake kwenye timu na dakika alizo cheza kwa mzunguko mzima