Thursday, 4 February 2016

Van Gaal getting hit by Wayne Rooney.. Funniest clip



https://www.youtube.com/watch?v=mXmP_6cfaaA

Monday, 1 February 2016

Simba yanukia utajiri


Simba inajaribu kila mbinu ya kuhakikisha inafikia mafanikio, baadhi ya vigogo wa timu hiyo wanapigana kuhakikisha inaondoka kwenye hali ya kutegemea misaada, wakitaka isimame wenyewe hasa kwenye suala la kipato. Mkurugenzi wa Kampuni ya EAG ambayo ndiyo inayofanya mambo ya masoko ya klabu ya Simba, Imani Kajula ameelezea mambo mbalimbali yaliyofanywa na yanayotegemewa kufanywa ili kuleta mafanikio kwa Simba hasa upande wa uchumi

Mamilioni yatumika kuivuruga Yanga


Mishahara ya wachezaji wote wa Coastal Union, chakula na kambi kwa mwezi ni wastani wa Sh.30 milioni. Straika Mnigeria Abasirim Chidiebele ndiyo mchezaji wa gharama zaidi katika kikosi cha Coastal analipwa Sh.2milioni huku Yanga anayelipwa zaidi anakinga Sh6 milioni.

Mabeki watatu wakali sasa wamchongea Mgosi Simba



Mastraika wa Simba, Mussa Hassan ‘Mgosi’ na Raphael Kiongera hawajafunga bao lolote msimu huu wakati mabeki hao watatu wote wakiwa wameifungia timu hiyo mabao jambo ambalo linaonekana kama ‘uchonganishi’

Sunday, 31 January 2016

Thierry Henry urges Manchester United to replace Van Gaal with Mourinho


Thierry Henry urges Manchester United to replace Van Gaal with Mourinho




Arsenal's record goalscorer believes the former Chelsea boss 'guarantees success' and insists a change is required at Old Trafford this summer

Carrick linked with Manchester United exit








RUMOURS: Carrick linked with Manchester United exit
Michael Carrick could leave Manchester United in the summer, The Sun reports.
The midfielder is now free to discuss a pre-contract with other club due to his current deal with United expiring in the summer.

Thursday, 14 January 2016

A Mom And 3 Daughters Never, EVER Cut Their Hair. Now Watch When They Turn Around...Whoa

 
 Tere Lynn Svetlecich Russell, 43, shares an obsession with her daughters.